Lengo letu ni kukujuza Habari Zote Za Michezo Kitaifa na Kimataifa Tangaza nasi Leo call 0717827307.
Mo Salah ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Machi katika ligi kuu nchini England.
Amekuwa mchezaji wa kwanza kuwahi kushinda tuzo hiyo mara 3 ndani ya msimu mmoja.
No comments:
Post a Comment