Friday, 13 April 2018

MO SALAH AVUNJA REKODI LIGI KUU UINGEREZA

Mo Salah ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Machi katika ligi kuu nchini England.

Amekuwa mchezaji wa kwanza kuwahi kushinda tuzo hiyo mara 3 ndani ya msimu mmoja.

No comments:

Post a Comment